Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 21:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Musikilize kwa uangalifu maneno yangu; na hiyo ikuwe ndiyo faraja yenu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 21:2
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Musikilize kwa uangalifu maneno yangu, maelezo yangu yatue katika masikio yenu.


Musikilize basi utetezi wangu, munisikilize ninapojitetea.


Faraja Mungu anazokupa ni ndogo sana? Au neno lake la upole kwako si kitu?


Mambo kama yale nimeyasikia mengi; ninyi ni wafariji wenye kutaabisha!


Utawinda maneno ya kusema mpaka wakati gani? Fikiri vizuri nasi tutasema.


Munivumilie, nami nitasema, na nikisha sema muendelee kunichekelea.


Sasa, Yobu, sikiliza masemi yangu; sikiliza maneno yangu yote.


Musikilize maneno yangu, enyi wenye hekima, munitegee masikio yenu, ninyi wenye ujuzi.


Mbona munatumia feza zenu kwa ajili ya kitu kisichokuwa chakula? Kwa nini kutoa jasho lenu kwa kitu kisichoshibisha? Munisikilize mimi kwa uangalifu, nanyi mutakula vinavyokuwa vitamu, na kufurahia vinavyokuwa bora.


Kwa sababu hiyo, tunapaswa kushikamana zaidi na habari tuliyosikia, kusudi tusipotee mbali.


Yotamu alipopata habari hiyo, alikwenda kusimama juu ya mulima Gerizimu, akasema kwa sauti kubwa: “Munisikilize, enyi watu wa Sekemu kama munataka Mungu awasikilize.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ