9 Aliyemwona, hatamwona tena, wala pale alipoishi hapatatambuliwa tena.
atatupiliwa mbali kama mavi yake. Waliopata kumujua watajiuliza: “Yuko wapi?”
ninaapa kwamba kadiri ninavyoweza kupumua, roho ya Mungu ikiwa bado ndani yangu,
Anayeondoka harudi tena kwa jamaa yake, na pale alipokuwa anaishi, wanamusahau mara moja.
Anayeniona sasa, hataniona tena, mara tu ukiniangalia nitakuwa nimetoweka.
Lakini likiangamizwa kutoka makao yake, hayo yatalikana yakisema: “Sijakuona bado.”
Bado kidogo, mwovu atatoweka; utamutafuta pale alipokuwa, wala hautamwona.
Kisha nikapita pale, naye hakukuwa tena; nikamutafuta, lakini hakuonekana tena.