4 Wewe labda umesahau jambo hili: kwamba tangu zamani Mungu alipomwumba mutu katika dunia,
Mungu akawabariki na kuwaambia: “Muzae, muongezeke, na mujaze inchi na kuitawala. Mutawale samaki wa bahari, ndege wa anga, na kila kiumbe chenye uzima kinachotembea katika dunia.”
Kati yetu kuna wazee wenye hekima, wenye miaka mingi kuliko baba yako.
mafundisho ya wenye hekima, mambo ambayo wazee wao hawakuficha,
Nilisema ndani ya moyo: “Uwaache wenye siku nyingi waseme, wenye miaka mingi wafundishe hekima.”
Mbingu ni mali ya Yawe, lakini amewapa wanadamu dunia.