3 Ninasikia maonyo nisiyoweza kuvumilia, lakini akili yangu inanisukuma nijibu.
Lakini muogope azabu, chuki yenu isiwaletee kifo. Mujue kwamba kutakuwa hukumu!
Mara hizi zote kumi mumenitukana. Basi, hamusikii haya kunitendea vibaya?
Mafikiri yangu yananisukuma nikujibu, wala siwezi kujizuia tena.
Nitawafundisha jinsi kitendo cha Mungu kinavyokuwa, sitawaficha mipango ya Mungu Mwenye Uwezo.
Nitasema kadiri ya usawa wa moyo wangu; ninayoyajua nitayasema kwa uaminifu.
Musikilize wote, wakubwa na wadogo, enyi watajiri na wakosefu.