Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 20:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Mafikiri yangu yananisukuma nikujibu, wala siwezi kujizuia tena.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 20:2
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nani atakayebishana nami? Niko tayari kunyamaza na kufa.


Kisha Zofari wa inchi ya Namati akajibu:


Ninasikia maonyo nisiyoweza kuvumilia, lakini akili yangu inanisukuma nijibu.


Mutu akijaribu kukuambia neno utakasirika? Lakini nani anayeweza kujizuia kusema?


Hata nilisema kwa hofu yangu: “Wanadamu wote hawawezi kutumainiwa!”


Yawe asifiwe, maana amenionyesha wema wake wa ajabu, nilipozungukwa katika muji unaoshambuliwa.


Mutu asiyekuwa mwepesi wa hasira ana akili nyingi, lakini anayekasirika upesi anaongeza upumbafu.


Unamwona mutu anayesema bila kufikiri? Mutu mupumbafu ni afazali kuliko yeye.


Usikuwe mwepesi wa hasira, maana, hasira inakaa ndani ya wapumbafu.


Lakini ninaposema “Sitamutaja tena Yawe, wala sitasema tena kwa jina lake”, ndani yangu kunawaka kitu kama moto uliofungiwa ndani ya mifupa yangu. Ninajaribu sana kuuzuia humo, lakini ninashindwa.


Mara moja yule binti akarudi upesi kwa mufalme na kumwomba: “Ninataka unipe sasa hivi kichwa cha Yoane Mubatizaji katika sahani.”


Kwa maana ninashuhudia kwamba wanajitoa kwa bidii kutumikia Mungu, lakini bidii ile haitokani na ufahamu wa kweli.


Wandugu zangu wapendwa, mukumbuke neno hili: kila mutu anapaswa kuwa mwepesi kwa kusikia, lakini asikuwe mwepesi kwa kusema na kukasirika.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ