Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 19:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Hata kama ingekuwa nimekosa kweli, kosa langu linanielekea mimi mwenyewe.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 19:4
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Daudi alipomwona yule malaika aliyekuwa anawaua watu, alimwambia, Yawe: “Mimi ndiye ninayekuwa na kosa! Mimi mwenyewe nimekosa! Hawa watu wapole hawakufanya uovu. Ninakusihi sana uniazibu mimi na jamaa ya baba yangu.”


Mara hizi zote kumi mumenitukana. Basi, hamusikii haya kunitendea vibaya?


Munaishusha hali yangu mupate kujipandisha; munanitusi kwa kunyenyekezwa kwangu.


Kama una hekima, itakufaa wewe mwenyewe; kama ukiizarau, wewe mwenyewe utapata hasara.


Mujue kwamba uzima wa kila mutu ni katika mikono yangu, ikiwa uzima wa muzazi na uzima wa mutoto. Yeyote anayetenda zambi, ndiye atakayekufa.


Kwa maana sisi wote tunapaswa kusimama kwa kusambishwa mbele ya tribinali ya Kristo, kusudi kila mutu alipwe kufuatana na matendo yake mema au mabaya aliyofanya alipokuwa akiishi ndani ya mwili wake.


Kwa maana kila mutu anapaswa kubeba muzigo wake mwenyewe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ