Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 19:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Mara hizi zote kumi mumenitukana. Basi, hamusikii haya kunitendea vibaya?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 19:3
19 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hata hivyo yeye amenidanganya na kubadilisha mushahara wangu mara kumi. Lakini Mungu hakumuruhusu kunizuru.


Yosefu alipoona kaka zake akawatambua, lakini akajifanya sawa vile hawafahamu, akasema nao kwa ukali. Akawauliza: “Mumetoka wapi ninyi?” Wakamujibu: “Tumetoka katika inchi ya Kanana, tumekuja kununua chakula.”


Kila mujengaji alikuwa na upanga wake ukifungwa kwenye kiuno chake naye akiendelea kujenga. Na mutu wa kupiga baragumu alikuwa karibu nami.


Kama uovu uko katika mukono wako, uutupilie mbali. Usikubali ubaya ukuwe katika nyumba yako.


Kupapayuka kwako kutanyamazisha watu? Kama ukichekelea watu, hakuna atakayekupatisha haya?


Nimekuwa harufu mbaya kwa muke wangu; chukizo kwa wandugu zangu wa tumbo.


Mutaendelea kunitesa mpaka wakati gani, na kunivunjavunja kwa maneno?


Hata kama ingekuwa nimekosa kweli, kosa langu linanielekea mimi mwenyewe.


Ninasikia maonyo nisiyoweza kuvumilia, lakini akili yangu inanisukuma nijibu.


Kwa ajili yako ninavumilia matusi; haya imefunika uso wangu.


Jambo lolote la hekima au la maarifa ambalo mufalme aliwauliza alijionea mwenyewe kwamba vijana wale wane walikuwa bora mara kumi kuliko waaguzi na wachawi wote katika utawala wake.


Chakula chenu nitakipunguza hata wanawake kumi watumie mafika moja tu kwa kupika mikate. Watawagawanyia mukate wenu kwa kipimo. Na hata kisha kula mutaendelea kuwa na njaa tu.


hakuna hata mumoja wao ambaye amekwisha kuuona utukufu wangu na vitambulisho vyangu nilivyofanya Misri na katika jangwa kisha akazidi kunijaribu mara hizi zote bila ya kutii sauti yangu,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ