Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 18:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Mutego unamukamata kwenye kisigino, kamba inamunasa kabisa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 18:9
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi Wasabea wakatushambulia na kunyanganya nyama na kuua watumishi kwa upanga. Ni mimi tu peke yangu nimepona kwa kuja kukuletea habari.”


Yule naye alipokuwa hajamaliza kusema, mwingine akafika, akasema: “Wakaldea walijipanga makundi matatu, wakashambulia ngamia, wakawatwaa, na wakaua watumishi wako kwa upanga! Ni mimi tu peke yangu nimepona kwa kuja kukuletea habari.”


Amefichiwa kamba ya kumunasa ndani ya udongo, ametegewa mutego katika njia yake.


Miguu yake mwenyewe itamutia katika mutego; kila mara anatembea juu ya shimo.


Mazao yake yanakuliwa na wenye njaa, hata ngano iliyoota kati ya miiba. Wenye tamaa wananyanganya utajiri wake.


Ee Yawe, unilinde na makucha ya wabaya; unikinge na watesaji wakali ambao wamepanga kuniangusha.


Mataifa yameanguka katika shimo walilochimba, miguu yao imenaswa kwenye wavu waliotega.


Mutu mubaya ananaswa kwa kosa lake, lakini mutu wa haki anaimba na kufurahi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ