Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 18:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Wewe unajirarua mwenyewe kwa hasira zako. Dunia itaachwa tupu kwa ajili yako au mawe yahamishwe toka pahali pake?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 18:4
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Niko tayari hata kuhatarisha maisha yangu.


Lakini milima inaanguka nayo mawe yanaongoka pahali pake.


Amenirarua kwa hasira na kunichukia, amenisagia meno, na adui yangu ananitonolea macho.


Kwa nini unatufanya kama ngombe? Mbona unatuona sisi kuwa wapumbafu?


Kweli, mwangaza wa mutu mwovu utazimishwa; ulimi wa moto wake hautaangaa.


Unataka kweli kugeuza hukumu yangu, kuniona nina kosa kusudi wewe usikuwe na kosa?


Kweli mahangaiko yanamwua mupumbafu, na wivu unamwangamiza mujinga.


Milima inaweza kutoweka, vilima vinaweza kuondolewa, lakini rehema zangu kwako sitaziacha, agano langu la amani litaimarishwa. Ni Yawe anayekuhurumia anayesema hivyo.


Naye akaniambia: Uovu wa Waisraeli na watu wa Yuda ni mukubwa sana. Inchi imejaa umwagaji wa damu na katika muji hakuna haki, kwa maana wanasema: Yawe ameiachilia inchi; Yawe haoni.


Lakini Mungu akamwuliza Yona: Unazani unafanya vema kuukasirikia mumea huo? Yona akajibu: Ndiyo, ninafanya vema kukasirika – kukasirika hata kufa!


Mbingu na dunia vitatoweka, lakini maneno yangu hayatabadilika hata kidogo.


Kila wakati yule pepo anapomukamata, anamwangusha chini, na mutoto anatoka pofu na kusaga meno, nao mwili wake unakauka. Niliomba wanafunzi wako wamufukuze yule pepo, lakini hawakuweza.”


Pepo anapomukamata, mara moja mutoto analalamika, na yule pepo anamutikisatikisa kwa nguvu hata pofu inamutoka. Huyo pepo hatoki ndani yake upesi, naye anamutesa sana.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ