2 Utawinda maneno ya kusema mpaka wakati gani? Fikiri vizuri nasi tutasema.
Wingi huu wa maneno uachwe tu bila kujibiwa? Mutu wa maneno mengi anaonyesha kwamba hana kosa?
Kisha Bildadi, wa inchi ya Suhi, akajibu:
Kwa nini unatufanya kama ngombe? Mbona unatuona sisi kuwa wapumbafu?
Musikilize kwa uangalifu maneno yangu; na hiyo ikuwe ndiyo faraja yenu.
Kule kwa wafu waovu hawasumbui mutu, kule wanaochoka wanapumzika.
Sasa, Yobu, sikiliza masemi yangu; sikiliza maneno yangu yote.
Utasema mambo haya mpaka wakati gani? Mpaka wakati gani maneno yako yatakuwa matupu kama upepo?
Kujibu mbele ya kusikiliza ni upumbafu na jambo la haya.
Wandugu zangu wapendwa, mukumbuke neno hili: kila mutu anapaswa kuwa mwepesi kwa kusikia, lakini asikuwe mwepesi kwa kusema na kukasirika.