1 Kisha Bildadi, wa inchi ya Suhi, akajibu:
Tazamio langu litashuka nami kuzimu! Tutateremuka wote wawili mpaka kule katika mavumbi!
Utawinda maneno ya kusema mpaka wakati gani? Fikiri vizuri nasi tutasema.
Warafiki watatu wa Yobu walisikia juu ya hasara zote zilizomupata Yobu, wakaamua kwa pamoja waende kumupa pole na kumufariji. Majina yao ni: Elifasi kutoka inchi ya Temani, Bildadi wa inchi ya Suhi na Zofari wa inchi ya Namati.
Kisha Bildadi wa inchi ya Suhi akajibu:
Halafu Bildadi wa inchi ya Suhi akamujibu Yobu: