Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 17:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Watu wa haki wanashangaa wanapoona hayo, nao wasiokuwa na kosa wanachukizwa na wasiomwogopa Mungu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 17:8
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nilipoyasikia maelezo hayo, nikapasua nguo zangu na koti langu, nikaongoa nywele zangu na ndevu zangu kwa huzuni kubwa na kuikaa chini na kufazaika.


Wenye haki wanaona na kufurahi, wasiokuwa na kosa wanawachekelea.


Anafanya hivyo, mutu mubaya asitawale, au wale wanaohatarisha maisha ya watu.


Zaburi ya Daudi. Usihangaike kwa sababu ya waovu; usiwaonee wivu wanaotenda mabaya.


maana niliwaonea wivu wenye kiburi, nilipoona wakosaji wakifanikiwa.


Faida ya mavuno ya inchi ni kwa watu wote, hata mufalme vilevile anatumainia mavuno yale.


Wewe ni mutakatifu kabisa, hauwezi kutazama uovu, hauwezi kuvumilia hata kidogo kuona mabaya. Mbona basi unawaona wafanya maovu na kunyamaza, kwa nini unanyamaza waovu wanapowamaliza wale watu wanaokuwa wenye haki kuliko wao?


Halafu Paulo na Barnaba wakawaambia bila woga: “Ilitupasa kwanza kuhubiri Neno la Mungu kwenu. Lakini kwa kuona mumelikataa na kujihesabu ninyi wenyewe kwamba uzima wa milele haufai kwenu, basi tunashugulika na watu wa mataifa mengine.


Utajiri wa Mungu, hekima na ufahamu wake ni vikubwa kupita kipimo! Hakuna anayeweza kuvumbua kusudi lake wala kuelewa mipango yake!


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ