Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 17:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Nimefanywa kuwa kichekesho kwa watu, nimekuwa mutu wa kutemewa mate.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 17:6
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa nini ulitoroka kwa siri, ukanidanganya, wala haukuniarifu kusudi nipate kukuaga kwa shangwe, nyimbo, matari na vinubi?


basi, nitawahamisha watu wangu, Waisraeli, kutoka inchi hii ambayo nimewapa; vilevile na nyumba hii ambayo niliyoitakasa kwa ajili ya jina langu, nitaitupilia mbali nami, na kuifanya kitu cha kuchekelewa na kuzarauliwa kati ya watu wa mataifa yote.


Nilikuwa mutu wa kumwomba Mungu na kupata jibu lake. Sasa, watu wananichekelea. Wanachekelea mutu mukamilifu, mwenye haki.


Kweli wanaonichekelea wamenizunguka, matusi yao yananizuiza kulala.


Wananichukia na kuniepuka; wakiniona tu wanatema mate kwenye uso.


Na sasa wamenitungia wimbo wa kunizomea, nimekuwa kitu cha kuchekesha kwao.


Umetupotezea heshima mbele ya jirani zetu, nao wanatuchekelea na kutuzarau.


Umetufanya tuzarauliwe na watu wa mataifa; wanatutikisia vichwa vyao kwa kutusimanga.


Nilipojinyenyekeza kwa kufunga kula chakula, watu walinilaumu.


Katika karamu zao, hapakosekani vinubi, zeze, ngoma, filimbi na divai. Lakini hawajali matendo ya Yawe, wala kutambua kazi za mikono yake.


Lakini Yawe akamwambia Musa: Kama baba yake angemutemea mate kwenye uso, basi, hangepata haya kwa siku saba? Basi, umutoe inje ya kambi akae kule muda wa siku saba, kisha unaweza kumuruhusu arudi katika kambi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ