2 Kweli wanaonichekelea wamenizunguka, matusi yao yananizuiza kulala.
Kupapayuka kwako kutanyamazisha watu? Kama ukichekelea watu, hakuna atakayekupatisha haya?
Nilikuwa mutu wa kumwomba Mungu na kupata jibu lake. Sasa, watu wananichekelea. Wanachekelea mutu mukamilifu, mwenye haki.
Akiwachunguza, ninyi mutapona? Au munazani munaweza kumudanganya Mungu kama watu?
Warafiki zangu wanizarau; ninatoa machozi kumwomba Mungu.
Nimefanywa kuwa kichekesho kwa watu, nimekuwa mutu wa kutemewa mate.
Munivumilie, nami nitasema, na nikisha sema muendelee kunichekelea.
Lakini ninyi munajua jambo lile vizuri sana! Mbona, basi munasema maneno yasiyokuwa na maana?
Mutu wa namna hiyo atafanikiwa siku zote, na wazao wake watarizi inchi.
Ukikaa chini ya ulinzi wa Mungu Mukubwa, ukiishi chini ya kivuli cha Mungu Mwenye Nguvu,