1 Nimevunjika moyo, siku zangu zimekwisha, kaburi langu liko tayari.
Kweli, miaka yangu ni michache, nami nitakwenda kule ambako sitarudi.
Siku zangu zimekwisha, mipango yangu imevunjwa, matazamio ya moyo wangu yametoweka.
Nimekuwa harufu mbaya kwa muke wangu; chukizo kwa wandugu zangu wa tumbo.
Nyuma ya pale, Yobu aliishi miaka mia moja makumi ine, akawaona vijukuu na vitukuu vyake vyote mpaka kizazi cha ine.
Sina nguvu ya kuweza kuendelea. Sijui mwisho wangu utakuwa namna gani, nipate kuvumilia.
Siku zangu zinapita mbio kuliko gurudumu la mushonaji, nazo zinafikia mwisho wake bila matumaini.
Maana sitaendelea kugombana wala kuwakasirikia siku zote, maana hao niliowaumba watazimia mbele yangu, nami ndiye niliyewapa pumzi yangu ya uzima.