Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 16:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Amenirarua kwa hasira na kunichukia, amenisagia meno, na adui yangu ananitonolea macho.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 16:9
17 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mbona unageuza uso wako mbali nami? Kwa nini unanitendea kama adui yako?


Unanifunga minyororo kwenye miguu, unachunguza njia zangu zote, umeichapa miguu yangu.


Wewe unajirarua mwenyewe kwa hasira zako. Dunia itaachwa tupu kwa ajili yako au mawe yahamishwe toka pahali pake?


Ameichochea kasirani yake juu yangu; ameniona kuwa kama adui yake.


Umegeuka kuwa mukali kwangu, unanitesa kwa mukono wako wenye nguvu.


Mungu ananitafutia sababu, ananiona kama adui yake.


Mishale ya Mungu Mwenye Uwezo imenichoma; nafsi yangu imekunywa sumu yake. Vitisho vya Mungu vimenipata.


Mwovu anamufanyia mutu wa haki shauri baya, na kumusagia meno kwa chuki.


“Mufikiri vizuri jambo hili, enyi musionijali, kama sivyo nitawaangamiza, wala hakuna atakayewaokoa.


Waadui zako wote wanakuzomea, wanakupigia muunzi na kukusagia meno, nao wanasema: Tumemwangamiza! Kweli, siku ile tuliyoingojea kwa hamu sasa imefika na tumeiona!


Alikuwa kwangu kama dubu anayevizia, kama simba katika maficho.


Maana mimi nitakuwa kama simba kwa Efuraimu, kama simba mukali kwa watu wa Yuda. Mimi mwenyewe nitawararua na kuondoka, nitawakamata na hakuna atakayewaokoa.


Halafu watasema: Tuende tumurudilie Yawe! Yeye mwenyewe ameturarua, lakini yeye mwenyewe atatuponyosha. Yeye mwenyewe ametuumiza, lakini yeye mwenyewe atatunza vidonda.


Usifurahie hali yangu ewe adui yangu! Nikianguka, nitasimama tena; nikiwa katika giza, Yawe ni mwangaza wangu.


Wajumbe wa Baraza Kubwa waliposikia maneno hayo, wakakasirika sana na kumusagia Stefano meno.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ