2 Mambo kama yale nimeyasikia mengi; ninyi ni wafariji wenye kutaabisha!
Halafu Yobu akajibu:
Mutaweza namna gani basi, kunifariji kwa maneno matupu? Majibu yenu hayana kitu chochote lakini uongo tu.
Maneno ya kweli yana nguvu kubwa! Lakini makaripio yenu yanafaa kwa nini?
Kitu kisichokuwa na onjo kinaweza kuliwa bila chumvi? Sehemu nyeupe ya yai ina utamu wowote?
Wewe unajua ninavyotukanwa, unajua haya na matusi ninazopata; na waadui zangu wote wewe unawajua.
Kambi zao ziachwe matongo, mutu yeyote asiishi katika mahema yao.
Hawa wanahubiri kwa upendo, kwa maana wanajua kwamba Mungu amenipatia kazi ya kuitetea Habari Njema.
Wandugu zangu wapendwa, mukumbuke neno hili: kila mutu anapaswa kuwa mwepesi kwa kusikia, lakini asikuwe mwepesi kwa kusema na kukasirika.