Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 16:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Macho yangu ni mekundu kwa sababu ya kulia, kope zangu zimekuwa nyeusi sana,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 16:16
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Warafiki zangu wanizarau; ninatoa machozi kumwomba Mungu.


Macho yangu yamefifia kwa ajili ya uchungu; viungo vyangu vyote vimekuwa kama kivuli.


Kwao wote giza kubwa ni mwangaza wa asubui; wao ni warafiki za vitisho vya giza kubwa.


Muchana kutwa waadui zangu wananisimanga, wanaonichekelea wanatumia jina langu kwa kulaani.


Hatari ya kifo ilinizunguka, vitisho vya kaburi vilinishika; nilisongwa na mahangaiko na huzuni.


Wewe haukunitoa katika mikono ya waadui zangu; lakini umenisimamisha kwenye pahali pa usalama.


Nilipokuwa sijaitikia zambi yangu, nilikuwa muzaifu sana kwa kulia muchana kutwa.


Ninazama ndani ya matope mengi, hakuna pahali pa kuweka miguu. Nimetumbukia kwenye shimo refu la maji, ninachukuliwa na maji mengi.


Wengi waliomwona walishituka, kwa vile sura yake ilikuwa imeharibika; hakukuwa tena na umbo la mwanadamu!


Kwa sababu ya hayo ninalia, machozi yananitiririka, sina mutu yeyote wa kunifariji; hakuna yeyote wa kunitia moyo. Watoto wangu wameachwa ukiwa, maana adui yangu amenishinda.


Akawaambia: “Ninahuzunika sana, karibu kufa! Mubakie hapa na mukeshe.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ