7 Wewe ndiwe mutu wa kwanza kuzaliwa? Wewe ulizaliwa mbele ya kuwa kwa vilima?
Adamu akalala na muke wake Eva, naye akapata mimba, akazaa Kaina. Eva akasema: “Nimepata mutoto mwanaume kwa musaada wa Yawe!”
Hekima iko kwa watu wazee, maarifa kwa walioishi muda murefu.
Kati yetu kuna wazee wenye hekima, wenye miaka mingi kuliko baba yako.
Mbele milima haijakuwa, mbele haujauumba ulimwengu, wewe ndiwe Mungu, milele na milele.