Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 15:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Uovu wako ndio unaongoza kinywa chako, nawe unachagua kusema kama wadanganyifu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 15:5
19 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Angekuelezea siri za hekima, maana yeye yuko na maarifa mengi. Ujue kwamba Mungu hakuhesabu makosa yako yote.


Makao ya wanyanganyi yana amani. Wenye kumuchokoza Mungu wako salama; nguvu yao ni mungu wao.


Lakini wewe, woga wa Mungu si ndani yako; nawe unakataa kufikiri mbele ya Mungu.


Hapana! Uovu wako ni mukubwa sana! Ubaya wako hauna mwisho!


Basi hawa watu watatu: Elifasi, Bildadi na Zofari, wakaacha kumujibu Yobu kwa vile alijiona kuwa mwenye haki.


Kwa hiyo Elihu mwana wa Barakeli wa kabila la Buzi wa ukoo wa Rama akakasirika. Alimukasirikia Yobu kwa sababu Yobu alijiona yeye mwenye haki na wala si Mungu.


Anavunja mipango ya wadanganyifu, matendo yao yasipate mafanikio.


Anawanasa wenye hekima kwa werevu wao, anakomesha mara moja mipango ya waovu.


Unikinge na shauri baya la waovu, nayo fujo ya watu wabaya.


Nisiwaazibu kwa sababu ya mambo haya? –Ni ujumbe wa Yawe.– Nisililipize kisasi taifa kama hili?


Mutu muzuri anasema maneno mazuri kutokana na uzuri wa moyo wake. Na mutu mubaya anasema maneno mabaya kutokana na ubaya wa moyo wake. Kwa maana kinywa cha mutu kinasema maneno yanayojaa ndani ya moyo wake.


Kama mutu akizani kwamba yeye ni mutu wa dini naye hawezi kuzuiza ulimi wake, anajidanganya mwenyewe, nayo dini yake haina faida.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ