Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 15:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Lakini wewe, woga wa Mungu si ndani yako; nawe unakataa kufikiri mbele ya Mungu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 15:4
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Anajitetea kwa maneno yasiyofaa na yasiyokuwa na maana?


Uovu wako ndio unaongoza kinywa chako, nawe unachagua kusema kama wadanganyifu.


Mwovu hawezi kufurahi mbele ya Mungu Mwenye Uwezo; hataweza kudumu akimwomba Mungu.


Kwa ngambo yangu, mimi ningemugeukia Mungu, ningemutolea Mungu maneno yangu,


Anayekataa kutendea mema rafiki yake, anakataa kumwogopa Mungu Mwenye Uwezo.


Ee Yawe, sasa ni wakati wa kutenda kitu, kwa maana watu wanavunja sheria yako.


Wananililia, lakini si kwa moyo. Wanagaagaa na kujikatakata juu ya vitanda vyao, kusudi nisikilize maombi yao kwa kupata ngano na divai; lakini wanaendelea kuniasi.


Na mujomba wa yule aliyekufa atakapokuja kuitoa maiti inje aichome, akimwuliza yeyote atakayekuwa ndani pembeni ya nyumba: Kuna mutu mwingine pamoja nawe? Atajibiwa: Hakuna! Naye atamwambia: Nyamaza kimya! Tusilitaje hata jina la Yawe.


Nitawaangamiza wote walioniacha mimi Yawe, wote walioacha kunitafuta na kuniuliza shauri.


Halafu Yesu akawaambia wanafunzi wake mufano huu kwa kuwaonyesha kwamba wanapaswa kuomba siku zote pasipo kuchoka.


Basi ni kusema kwa sababu ya imani ile tunaitupilia Sheria? Hapana hata kidogo! Lakini tunasimamisha Sheria.


Mimi sitaki kukataa neema ya Mungu kwa maana ikiwa wanaweza kuhesabiwa haki mbele ya Mungu, kwa njia ya kushika Sheria, basi Kristo alikufa bure.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ