3 Anajitetea kwa maneno yasiyofaa na yasiyokuwa na maana?
Mwenye hekima anajibu bila kufikiri na kujaa maneno ya burebure?
Lakini wewe, woga wa Mungu si ndani yako; nawe unakataa kufikiri mbele ya Mungu.
Masemi yenu yanapaswa kuwa mazuri siku zote na yenye kufaa, munapaswa kujua kujibia kila mutu vizuri.