Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 14:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Anachanua kama maua, kisha ananyauka. Anakimbia kama kivuli na kutoweka.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 14:2
21 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Sisi tuko wageni mbele yako, na wasafiri kama vile babu zetu walivyokuwa wote. Siku zetu katika dunia ni kama kivuli kinachopita, hapa hakuna tumaini la kukaa.


Atakuwa kama muzabibu unaoangusha zabibu mbichi, kama muzeituni unaopoteza maua yake.


Wanadamu wanaangamia kwa saa chache tu; wanaangamia milele bila kuacha hata alama.


Sisi ni watu wa juzijuzi tu, hatujui kitu; siku zetu katika dunia ni kivuli kinachopita.


kwa sababu ya kasirani na hasira yako, maana umeniokota na kunitupilia mbali.


Maisha yangu ni kama kivuli cha magaribi; ninanyauka kama majani.


Nimepondekana kama majani na kunyauka; sina hata hamu ya chakula.


Mwanadamu ni kama pumzi tu; siku zake zinapita kama kivuli.


Maana hao watatoweka mara moja kama nyasi; watanyauka kama majani.


“Ee Yawe, unijulishe mwisho wangu, siku zangu za kuishi zimenibakia ngapi, nijue namna maisha yangu yanavyopita upesi!”


Kweli, kila mutu anapita kama kivuli; masumbuko yake yote ni bure tu; anakusanya mali, hajui atakayeipata!


Kwa macho yangu, nimeona waadui zangu wameshindwa; kwa masikio yangu, nimesikia kilio cha wanaotenda maovu.


Mutu mupumbafu hawezi kufahamu, wala mujinga hajui jambo hili:


Lakini hakuna furaha kwa waovu. Wao watapita kama kivuli, maisha yao hayatakuwa marefu kwa sababu hawamwogopi Mungu.


Ninyi hamujui namna gani maisha yenu yatakavyokuwa kesho! Kwa maana ninyi ni kama muvuke unaoonekana kwa wakati kidogo, kisha unatoweka.


Kwa maana Maandiko Matakatifu yanasema: “Wanadamu wote ni kama majani. Na utukufu wao wote unatoweka kama maua. Majani yanakauka na maua yanaanguka.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ