9 Akiwachunguza, ninyi mutapona? Au munazani munaweza kumudanganya Mungu kama watu?
Yeye ana nguvu na hekima. Wanaodanganywa na wanaodanganya ni wake.
Lakini mutu anakufa na ule ndio mwisho wake. Akisha kutoa roho, anabakiliwa na nini tena?
Kweli wanaonichekelea wamenizunguka, matusi yao yananizuiza kulala.
Heri Yobu angechunguzwa mpaka mwisho, kwa maana anajibu kama watu waovu.
Unichunguze, ee Mungu, unijue moyo wangu, unipime, uyajue mawazo yangu.
Tungalikuwa tumekusahau wewe Mungu wetu, na kumukimbilia mungu wa uongo,
Basi, ninyi musikuwe na mazarau vifungo vyenu visipate kukazwa zaidi. Maana nimesikia kwamba Yawe wa majeshi amekusudia kuiangamiza inchi yote.
Mimi Yawe ninapima akili na kuchunguza moyo wa mutu. Na hivyo ninamutendea kila mumoja, kulingana na mwenendo wake, kadiri ya matendo yake.