Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 13:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Munazani munamutumikia Mungu kwa kusema uongo na udanganyifu?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 13:7
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yehu akawakusanya watu wa Samaria na kuwaambia: “Mufalme Ahabu alimutumikia Bali kidogo tu, lakini mimi nitamutumikia zaidi.


Yeye ana nguvu na hekima. Wanaodanganywa na wanaodanganya ni wake.


Musikilize basi utetezi wangu, munisikilize ninapojitetea.


Mutu anayefitini warafiki zake kwa faida, watoto wake watakufa macho.


midomo yangu haitasema uongo hata kidogo, wala ulimi wangu kusema udanganyifu.


Kweli maneno yangu si ya uongo; mwenye elimu kamili yuko hapa nawe.


Fikiri sasa: nani asiyekuwa na kosa ambaye amepata kuangamia? Au, watu wa usawa wamepata kutupiliwa?


Watawatenga musiingie katika nyumba za kuabudia. Na kutakuwa wakati ambapo wote watakaowaua watazani kwamba wanamutumikia Mungu.


Tumekataa mambo ya kisirisiri na ya haya. Hatuna mwenendo wa udanganyifu wala hatupotowi neno la Mungu. Lakini tunajulisha waziwazi ukweli kusudi tuvute kila mutu kutuaminia katika zamiri yake mbele ya Mungu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ