6 Musikilize basi utetezi wangu, munisikilize ninapojitetea.
Musikilize kwa uangalifu maneno yangu, maelezo yangu yatue katika masikio yenu.
Heri mungekaa kimya kabisa, muonekane kwamba muna hekima!
Munazani munamutumikia Mungu kwa kusema uongo na udanganyifu?
Musikilize maneno yangu, enyi wenye hekima, munitegee masikio yenu, ninyi wenye ujuzi.
Yotamu alipopata habari hiyo, alikwenda kusimama juu ya mulima Gerizimu, akasema kwa sauti kubwa: “Munisikilize, enyi watu wa Sekemu kama munataka Mungu awasikilize.