Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 13:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Heri mungekaa kimya kabisa, muonekane kwamba muna hekima!

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 13:5
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kupapayuka kwako kutanyamazisha watu? Kama ukichekelea watu, hakuna atakayekupatisha haya?


Munyamaze, nami niseme. Kitu kitakachonipata, kinipate.


Musikilize basi utetezi wangu, munisikilize ninapojitetea.


Mwisho wa maneno haya ya bure ni wakati gani? Au ni kitu gani kinachowasukuma kujibu?


Utawinda maneno ya kusema mpaka wakati gani? Fikiri vizuri nasi tutasema.


Mutaendelea kunitesa mpaka wakati gani, na kunivunjavunja kwa maneno?


Muniangalie, nanyi mushangae, muweke mikono yenu juu ya vinywa vyenu.


Basi hawa watu watatu: Elifasi, Bildadi na Zofari, wakaacha kumujibu Yobu kwa vile alijiona kuwa mwenye haki.


Basi, ningoje tu kwa vile hamusemi, kwa sababu munakaa tu bila kujibu kitu?


Hata mupumbafu akinyamaza, anaonekana kuwa na hekima; akifunga kinywa chake anaonekana kuwa mwenye akili.


Ukimutolea Mungu ahadi, usikawie kuitimiza. Mungu hapendezwi na wapumbafu. Timiza kile ulichoahidi.


Basi, kutakuwa wakati mubaya ambao hata mwenye hekima atanyamaza.


Wandugu zangu wapendwa, mukumbuke neno hili: kila mutu anapaswa kuwa mwepesi kwa kusikia, lakini asikuwe mwepesi kwa kusema na kukasirika.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ