Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 13:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Lakini ninyi munapakaa uongo chokaa, ninyi wote ni waganga wasiofaa kitu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 13:4
23 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nami nikamutumia jibu: “Hakuna jambo kama hilo. Habari hizo umezitunga wewe mwenyewe.”


Mambo kama yale nimeyasikia mengi; ninyi ni wafariji wenye kutaabisha!


Lakini ninyi munajua jambo lile vizuri sana! Mbona, basi munasema maneno yasiyokuwa na maana?


Warafiki zangu wamenidanganya kama kijito, wamenidanganya kama mifereji isiyokuwa na maji,


Wanachukizwa kwa kutumainia bure, wanafika kwenye vijito hivyo na kuuzika.


Ninyi mumekuwa kama vijito hivyo, munaona hasara yangu na kuogopa.


Wenye kiburi wanasema uongo juu yangu, lakini mimi ninashika kanuni zako kwa moyo wote.


Vilevile mimi Yawe ninasema kwamba nitawashambulia manabii wanaotabiri ndoto zao za uongo kwa watu wangu, na kuwapotosha kwa uongo wao na upuuzi wao. Mimi sikuwatuma wala kuwaamuru waende, kwa hiyo hawatawafalia watu hao kitu. –Ni ujumbe wa Yawe!


Hakuna atakayekushugulikia, kidonda chako hakina dawa, wewe hautapona.


Mupande Gileadi, enyi watu wa Misri, kwa kutafuta dawa. Mumetumia dawa nyingi bure; hakuna kitakachowaponyesha ninyi.


Wanatunza vidonda vya watu wangu juujuu, wakisema: “Kuna amani, kuna amani”, ingawa hakuna amani yoyote!


Hakuna dawa ya kupakaa kule Gileadi? Hakuna muganga kule? Mbona basi watu wangu hawajaponyeshwa?


Wanaokuwa zaifu hamukuwatia nguvu, wagonjwa hamukuwatunza, waliovunjika hamukuwafunga kwa kitambaa, waliotangatanga hamukuwarudisha na waliopotea hamukuwatafuta. Lakini mukawatawala kwa kinguvu na kuwatesa.


Watu wa Efuraimu walipogundua ugonjwa wao, watu wa Yuda walipogundua kidonda chao, watu wa Efuraimu walikwenda Asuria kuomba musaada kwa mufalme mukubwa; lakini yeye hakuweza kuwatunza, hakuweza kuponyesha kidonda chao.


Yesu alisikia vile walivyosema, na kwa hiyo akawaambia: “Wenye afya nzuri hawahitaji muganga, ni wale wanaokuwa wagonjwa tu. Sikukuja kuwaita wenye haki kunifuata, lakini watenda mabaya.”


Aliwaendea waganga wengi, lakini ingawa vile aliteswa sana na kupoteza mali yake. Yeye hakuweza kupona, lakini hali yake iliendelea kuwa mbaya zaidi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ