Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 13:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Yote munayoyajua, mimi vilevile ninayajua. Mimi si mutu wa akili ndogo kuliko ninyi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 13:2
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mimi nami nina ufahamu kama ninyi. Mimi si mutu wa akili ndogo kuliko ninyi. Yote muliyosema kila mutu anajua.


“Yobu anaongea bila kutumia akili, maneno yake hayana maana.”


Yobu anafungua kinywa kusema maneno matupu, anazidisha maneno bila akili.


Musikilize ngurumo ya sauti ya Mungu, na muvumo wa sauti kutoka ndani ya kinywa chake.


Yawe alipomaliza kuongea na Yobu, akamwambia Elifasi wa inchi ya Temani: “Kasirani yangu imewaka juu yako na warafiki zako wawili maana hamukusema ukweli juu yangu kama vile mutumishi wangu Yobu alivyofanya.


Kwa ngambo yangu, mimi ningemugeukia Mungu, ningemutolea Mungu maneno yangu,


Ninasema kama mupumbafu, lakini ni ninyi ndio mumenilazimisha kufanya vile. Kufuatana na ile, ningepaswa kusifiwa nanyi. Kwa maana hata kama mimi si kitu, wale mitume wenu wanaohesabiwa kuwa wakubwa hawanipiti kitu kabisa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ