Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 13:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Maneno yangu nimeyatarisha jinsi inavyofaa. Ninajua kwamba sina kosa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 13:18
17 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wewe unajua kwamba mimi sina kosa, na hakuna wa kuniokoa toka katika mikono yako.


Nilikuwa mutu wa kumwomba Mungu na kupata jibu lake. Sasa, watu wananichekelea. Wanachekelea mutu mukamilifu, mwenye haki.


Musikilize kwa uangalifu maneno yangu, maelezo yangu yatue katika masikio yenu.


Heri mutu angenitetea mbele ya Mungu, kama vile inavyofanyika katika dunia kati ya watu wawili.


Ningeleta maneno yangu mbele yake, na kumutolea utetezi wangu.


Ninashikilia haki yangu, wala sitaiacha; katika zamiri yangu sina cha kunihukumu katika maisha yangu.


Basi hawa watu watatu: Elifasi, Bildadi na Zofari, wakaacha kumujibu Yobu kwa vile alijiona kuwa mwenye haki.


Wewe umesema hivi: “Mimi niko safi, wala sina kosa. Hakuna ubaya wowote katika moyo wangu.


Basi, Yobu amesema: “Mimi Yobu sina kosa, Mungu ameniondolea haki yangu.


Tafazali mugeuke, kusikuwe uovu; muache sasa, kwa ajili ya haki yangu.


Ingawa sina kosa, maneno yangu yenyewe yangenihukumu. Ingawa mimi ni mukamilifu, yangehakikisha kwamba mimi ni mupotovu.


Mimi ni mukamilifu. Siangalii nafsi yangu. Ninachukia maisha yangu.


Munikumbushe tena makosa yangu, tusambe nanyi, mutoe mashitaki yenu kusudi tuuone ukweli wenu!


Jambo ambalo tunajivunia ni hili: zamiri yetu inayotuhakikishia kwamba tumeishi katika dunia na zaidi kati yenu katika uaminifu na ukweli tulivyojaliwa na Mungu. Sisi hatukuongozwa na hekima ya kimutu lakini na neema ya Mungu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ