Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 13:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Masemi yenu ni mezali za majivu, maneno yenu ni ukuta wa udongo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 13:12
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Abrahamu akasema: “Nimesubutu kuzungumuza na Bwana, mimi ninayekuwa mavumbi na majivu tu.


Halafu Yawe Mungu akamwumba mwanaume kwa udongo, akamupulizia ndani ya pua pumzi ya uzima, na yule mwanaume akakuwa kiumbe chenye uzima.


Utukufu wake hauwatishi? Hamupatwi na hofu juu yake?


Munyamaze, nami niseme. Kitu kitakachonipata, kinipate.


Katika inchi hakuna atakayemukumbuka; jina lake halitatamkwa tena katika barabara.


Mutaweza namna gani basi, kunifariji kwa maneno matupu? Majibu yenu hayana kitu chochote lakini uongo tu.


Yobu akaendelea kutoa masemi yake, akasema:


Kisha Yobu akaendelea na masemi yake, akasema:


Zaidi sana wanadamu, viumbe vya udongo, watu ambao musingi wao ni mavumbi, ambao wanaweza kupondwapondwa kama chawa!


Maisha yangu ni kama kivuli cha magaribi; ninanyauka kama majani.


Yawe akumbuke zambi zao siku zote; lakini wao wenyewe wasahauliwe katika dunia.


Yawe anawaangalia watu wa haki, na kusikiliza malalamiko yao;


Kisha Yawe akamwambia Musa: “Uandike jambo hili katika kitabu, likuwe ukumbusho. Tena umwambie Yoshua kwamba nitawafuta kabisa Waamaleki katika dunia.”


Mwenye haki anakumbukwa kwa baraka, lakini waovu watasahauliwa kabisa.


Watu hao wamekufa, wala hawataishi tena; wamekuwa mizimu, wala hawatafufuka. Maana wewe umewaazibu na kuwaangamiza, hakuna atakayeweza kuwakumbuka tena.


Kwa maana, tunajua kwamba hema hii tunayoishi ndani yake hapa katika dunia, maana yake mwili wetu, itakapobomolewa, Mungu atatupatia makao mengine mbinguni. Nayo ni nyumba aliyoijenga yeye mwenyewe na inayodumu milele.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ