10 Hakika yeye atawakaripia kama mukionyesha upendeleo kwa siri.
Basi, sasa mumwogope Yawe, mukuwe waangalifu katika kila jambo mutakalotenda kwa sababu Yawe wetu hatavumilia upotoshaji wa haki, wala upendeleo wala upokeaji wa kituliro.”
Munajaribu kumupendeza Mungu? Mutamutetea Mungu katika tribinali?
Sitamupendelea mutu yeyote wala kutumia maneno ya kubembeleza mutu,
Yeye hawapendelei wakubwa, wala kuwajali watajiri kuliko wamasikini, maana wote hao ni kazi ya mikono yake.
“Mpaka wakati gani mutaendelea kuhukumu bila haki na kuwapendelea watu waovu?
Lakini kama mukifanya upendeleo, munafanya zambi, nanyi munahukumiwa na Sheria kwa sababu mumeivunja.