Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 12:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Nilikuwa mutu wa kumwomba Mungu na kupata jibu lake. Sasa, watu wananichekelea. Wanachekelea mutu mukamilifu, mwenye haki.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 12:4
26 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kupapayuka kwako kutanyamazisha watu? Kama ukichekelea watu, hakuna atakayekupatisha haya?


Mutu mwenye raha anazarau taabu; taabu ni kwa wale wanaoteleza.


Maneno yangu nimeyatarisha jinsi inavyofaa. Ninajua kwamba sina kosa.


Watu wanafungua vinywa vyao na kunichekelea. Makundi kwa makundi wananizunguka na kunipiga makofi kwenye mashavu.


Warafiki zangu wanizarau; ninatoa machozi kumwomba Mungu.


Kweli wanaonichekelea wamenizunguka, matusi yao yananizuiza kulala.


Nimefanywa kuwa kichekesho kwa watu, nimekuwa mutu wa kutemewa mate.


Munivumilie, nami nitasema, na nikisha sema muendelee kunichekelea.


Lakini sasa watu wananichekelea, tena watu wanaokuwa wadogo kuliko mimi; watu ambao niliwaona baba zao hawafai hata kuwahesabu kama imbwa wangu wakilinda kondoo.


Na sasa wamenitungia wimbo wa kunizomea, nimekuwa kitu cha kuchekesha kwao.


Ni nani anayekuwa kama Yobu ambaye kwake mazarau ni kama kunywa maji?


Tafazali mugeuke, kusikuwe uovu; muache sasa, kwa ajili ya haki yangu.


Mimi ni mukamilifu. Siangalii nafsi yangu. Ninachukia maisha yangu.


Akiniita, mimi nitamwitikia; akikuwa katika taabu nitakuwa pamoja naye, nitamwokoa na kumupa heshima.


Mwenye mwenendo sawa anamwogopa Yawe, lakini mupotovu anamuzarau Mungu.


Ee Yawe, wewe umenidanganya, nami kweli nimedanganyika; wewe una nguvu kuliko mimi, nawe umeshinda. Nimekuwa mutu wa kuchekelewa kila siku, kila mutu ananizarau.


Uniite, nami nitakujibu na kukuambia mambo makubwa yaliyofichwa ambayo haujapata kuyajua.


Lakini mimi ninamutumainia Yawe, ninamutazamia Mungu mwenye kuniokoa; Mungu wangu atanisikiliza.


Nao wakasokota taji na tawi lenye miiba na kumuvalisha nalo kwenye kichwa chake. Wakaweka tete katika mukono wake wa kuume, wakapiga magoti mbele yake na kumuchekelea, wakisema: “Jambo, Mufalme wa Wayuda!”


Halafu akasema: “Mutoke hapa. Binti huyu mudogo hakukufa, lakini analala tu.” Nao wakaanza kumuchekelea.


Nao wakaanza kumuchekelea. Halafu Yesu akawaondosha wote inje, akawakamata wazazi wa yule mutoto na wanafunzi wake watatu, akaingia katika chumba pahali mutoto alipokuwa.


Wakati Wafarisayo waliposikia maneno haya yote wakamuzarau Yesu, kwa sababu walikuwa wapenda feza.


Nao waliposikia Paulo akisema juu ya ufufuko, wamoja wakamuchekelea na wengine wakasema: “Tutakusikiliza tena ukisema juu ya habari hii siku ingine.”


Wengine walichekelewa na kupigwa fimbo, na wengine walifungwa minyororo na kutupwa katika kifungo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ