3 Mimi nami nina ufahamu kama ninyi. Mimi si mutu wa akili ndogo kuliko ninyi. Yote muliyosema kila mutu anajua.
Unajua kitu gani tusichokijua sisi? Unafahamu kitu gani tusichokifahamu sisi?
Usimujibu mupumbafu kipumbafu, kusudi usifanane naye.
Ninazani kwamba wale mitume wanaohesabiwa kuwa wakubwa zaidi hawanipiti kitu kabisa.