2 Hakika! Ninyi ni watu wa hekima. Hekima itakufa wakati ule mutakapokufa.
Mupumbafu hawezi kuwa na maarifa. Punda wa pori ni punda wa pori tu.
Wingi huu wa maneno uachwe tu bila kujibiwa? Mutu wa maneno mengi anaonyesha kwamba hana kosa?
Angekuelezea siri za hekima, maana yeye yuko na maarifa mengi. Ujue kwamba Mungu hakuhesabu makosa yako yote.
Halafu Yobu akajibu:
Mwenye hekima anajibu bila kufikiri na kujaa maneno ya burebure?
Lakini ninyi mukuje, mukuje wote tena. Kwenu sitamupata mwenye hekima hata mumoja.
Umefumba akili za warafiki zangu; usiwaache basi wanishinde.
Ninasikia maonyo nisiyoweza kuvumilia, lakini akili yangu inanisukuma nijibu.
Jinsi gani ulivyomushauri asiyekuwa na hekima, na kumushirikisha ujuzi wako!
Tajiri anajiona mwenyewe kuwa mwenye hekima, lakini masikini mwenye akili atamufichua.
Ole kwao wanaojiona kuwa wenye hekima na akili.
Sisi ni wapumbafu kwa ajili ya Kristo, lakini ninyi ni wenye hekima katika kuungana kwenu na Kristo. Sisi ni zaifu, lakini ninyi ni wenye nguvu. Tunazarauliwa, lakini ninyi munaheshimiwa!
Ninasema hivi kwa kuwapatisha haya. Hakika kati yenu hakuna hata mutu mumoja mwenye hekima anayeweza kukata maneno kati ya wandugu zake waamini?