1 Halafu Yobu akajibu:
Lakini waovu macho yao yatafifia, njia zote za kutorokea zitawapotea; tumaini lao la mwisho ni kukata roho!
Hakika! Ninyi ni watu wa hekima. Hekima itakufa wakati ule mutakapokufa.
Yobu akasema:
Siku hiyo, Yawe atakamata upanga wake mukubwa, mukali na imara, na kuiazibu Leviatani, ile nyoka inayoruka na kuzongazonga. Yawe ataua nyoka mukubwa anayeishi katika bahari.