9 Ukubwa ule unapita urefu wa dunia, unapita upana wa bahari.
Kama Mungu akipita, akimufunga mutu na kumuhukumu, nani anayeweza kumuzuia?
Ukubwa wake unapita mbingu; wewe unaweza nini? Kimo chake kinapita kuzimu; wewe unaweza kujua nini?
Lakini Yobu, ninakuambia pale umekosa. Mungu ni mukubwa kuliko mwanadamu.
Ulisema kwamba nilivuruga mipango yako bila akili. Kweli nilitamka kitu ambacho sikuelewa, mambo ya ajabu sana kwangu ambayo sikukuwa ninayajua.