Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 11:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Angekuelezea siri za hekima, maana yeye yuko na maarifa mengi. Ujue kwamba Mungu hakuhesabu makosa yako yote.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 11:6
21 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hata nyuma ya yote yaliyotupata kwa sababu ya maovu yetu na makosa yetu mengi, tunajua kwamba azabu uliyotupa, ee Mungu wetu, ni ndogo ikilinganishwa na makosa yetu, na umewaacha wazima wamoja kati yetu.


Heri Mungu angefungua kinywa chake na kutoa sauti yake kwa kukujibu!


Lakini hekima na uwezo ni vya Mungu. Yeye ana maarifa na ujuzi.


Faraja Mungu anazokupa ni ndogo sana? Au neno lake la upole kwako si kitu?


Uovu wako ndio unaongoza kinywa chako, nawe unachagua kusema kama wadanganyifu.


Ulipata kuwa katika shauri la Mungu? Wewe ndiwe peke yako mwenye hekima?


Hapana! Uovu wako ni mukubwa sana! Ubaya wako hauna mwisho!


Kisha Mungu akamwambia mwanadamu: Sikia! Kumwogopa Bwana ndiyo hekima, na kujitenga na uovu ndiyo maarifa.


Lakini Yobu, ninakuambia pale umekosa. Mungu ni mukubwa kuliko mwanadamu.


Yeye ni mwenye hekima sana na nguvu nyingi. Nani aliyepingana naye, akashinda?


Yeye hatuazibu kama tunavyostahili; hatulipizi kadiri ya uovu wetu.


Yawe ni rafiki ya wale wanaomwabudu; yeye anawajulisha agano lake.


Wema wa Yawe haukomi, huruma zake hazina mwisho.


Lakini, kuna Mungu mbinguni ambaye anafumbua mafumbo, naye amekujulisha, ee mufalme Nebukadneza, mambo yatakayotukia katika siku zinazokuja. Ndoto yako na maono yaliyokufikia ulipokuwa unalala ni haya:


Mufalme akamwambia Danieli: Hakika, Mungu wako ni Mungu wa miungu na Bwana wa wafalme, na ndiye anayefumbua mafumbo kwa sababu ameweza kunifumbulia fumbo hili.


Ilitokea vile kusudi yatimie maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii: “Nitasema nao kwa mifano, nitawaambia maneno yaliyofichwa tangu kuumbwa kwa dunia.”


Zamani, Mungu hakuwajulisha watu mupango ule sawa vile ameujulisha sasa kwa mitume na manabii wake watakatifu kwa njia ya Roho wake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ