Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 11:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Wewe unasema: “Masemi yangu ni safi, mimi sina kosa mbele ya Mungu.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 11:4
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wewe unajua kwamba mimi sina kosa, na hakuna wa kuniokoa toka katika mikono yako.


Heri Mungu angefungua kinywa chake na kutoa sauti yake kwa kukujibu!


Nani anayeweza kutoa kitu kisafi kutoka kitu kichafu? Hakuna anayeweza.


Yobu, unaona jambo hili ni sawa? Unasema: “Mimi ni mwenye haki mbele ya Mungu.”


Hiyo ingekuwa faraja yangu, ningefurahi katika maumivu yasiyokuwa na huruma, kwa sababu sikukataa maagizo ya Mungu Mutakatifu.


Kama nikitenda zambi, inakuuzi nini, ewe muchungaji wa wanadamu? Mbona umeniweka kuwa shabaha ya mapigo yako? Kwa nini nimekuwa muzigo kwako?


Maana ninawapa kanuni zuri, musikatae mafundisho yangu.


Lakini mumutukuze Bwana wenu Kristo ndani ya mioyo yenu. Mukuwe tayari wakati wowote kumujibu kila mutu anayewauliza juu ya tumaini munalokuwa nalo. Lakini mufanye vile kwa upole na heshima,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ