Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 11:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Mungu anajua watu wasiofaa; anaona uovu vilevile bila magumu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 11:11
17 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Anawaacha waovu wajione salama, lakini macho yake yanachunguza mienendo yao.


Maana yeye anaona mpaka kwenye miisho ya dunia, anaona kila kitu chini ya mbingu.


Mungu haoni njia zangu na kujua hatua zangu zote?


Mwovu anawaza ndani ya moyo wake: “Mungu amesahau; ameficha uso wake, haoni kitu!”


Lakini wewe unawaona wenye taabu na shida; nawe uko tayari kuwasaidia siku zote. Muzaifu anakutegemea wewe, ee Mungu, wewe umekuwa siku zote musaada wa yatima.


Yawe anaangalia chini kutoka mbinguni, na kuwaona wanadamu wote.


Lakini wewe Yawe unaona jambo hilo. Usinyamaze, ee Yawe, usikae mbali nami.


Yawe anajua mawazo ya watu; anajua kwamba hayafai kitu.


Faida ya mavuno ya inchi ni kwa watu wote, hata mufalme vilevile anatumainia mavuno yale.


Hawafikiri hata kidogo kwamba mimi ninayakumbuka maovu yao yote. Sasa maovu yao yamewabana. Yote waliyotenda yako mbele yangu.


Wewe ni mutakatifu kabisa, hauwezi kutazama uovu, hauwezi kuvumilia hata kidogo kuona mabaya. Mbona basi unawaona wafanya maovu na kunyamaza, kwa nini unanyamaza waovu wanapowamaliza wale watu wanaokuwa wenye haki kuliko wao?


Hakuna kitu kinachoweza kufichwa mbele ya Mungu, lakini vitu vyote vinafunuliwa na viko wazi mbele ya macho yake, yeye tutakayemutolea hesabu ya maneno yetu.


Nitawaua wafuasi wake. Na hivi makanisa yote yatajua kwamba mimi ndiye ninayechunguza mioyo ya watu na mafikiri yao. Vilevile yatajua kwamba mimi nitamulipa kila mumoja wenu kufuatana na matendo yake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ