Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 10:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Uko na macho kama ya mwanadamu? Unaona kama vile mwanadamu anavyoona?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 10:4
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Anawaacha waovu wajione salama, lakini macho yake yanachunguza mienendo yao.


Maana yeye anaona mpaka kwenye miisho ya dunia, anaona kila kitu chini ya mbingu.


Macho ya Mungu yanachunguza mienendo ya watu; yeye anaziona hatua zao zote.


Mungu si mutu kama mimi nipate kumujibu, hata tuweze kwenda katika tribinali pamoja.


Yesu akawaambia: “Ninyi ni watu wanaojionyesha kuwa wenye haki mbele ya watu, lakini Mungu anajua yanayokuwa ndani ya mioyo yenu. Kwa maana mambo yanayosifiwa na watu ni machukizo mbele ya Mungu.


Nywele zake zilikuwa nyeupe sana kama pamba na kama barafu, macho yake yalimetameta kama ndimi za moto.


Lakini Yawe alimwambia: “Usiangalie sura yake wala urefu wake. Mimi nimemukataa maana siangalii mambo kama vile wanadamu wenye kufa wanavyoangalia. Mwanadamu anaangalia umbo la inje, lakini mimi ninaangalia ndani ya moyo.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ