3 Ni sawa kwako kunionea, kuzarau kazi ya mikono yako na kupendelea mipango ya waovu?
Mikono yako ilinitengeneza na kuniumba, lakini sasa unageuka kwa kuniangamiza.
Halafu ungeniita, nami ningeitika, wakati ungetaka kuniona mimi kiumbe chako.
hata kumwasi Mungu na kusema maneno mabaya kama yale?
Mungu amenitia katika mikono ya wapotovu na kunitupa katika mikono ya waovu.
Mujue kwamba Mungu amenitendea vibaya na kuninasa katika wavu wake.
Kufanikiwa kwao si kuko katika mikono yao, wakiwa wamemuweka Mungu mbali na mipango yao?
Lakini Mungu ndiye aliyejaza nyumba zao fanaka, lakini walimuweka mbali na mipango yao!
Kama vile Mungu anavyoishi, aliyeniondolea haki yangu, Mungu Mwenye Uwezo aliyeifanya nafsi yangu ikuwe na uchungu,
Umegeuka kuwa mukali kwangu, unanitesa kwa mukono wako wenye nguvu.
Maana Mungu ndiye aliyeniumba mimi na mutumishi wangu; yeye ndiye aliyetuumba sisi wote.
Roho ya Mungu iliniumba, nayo pumzi ya Mungu Mwenye Uwezo inanipa uzima.
Wewe mwenye kuchunguza makosa utashindana na Mungu Mwenye Uwezo? Wewe unayebishana nami Mungu, basi ujibu mambo hayo!
Unataka kweli kugeuza hukumu yangu, kuniona nina kosa kusudi wewe usikuwe na kosa?
Sikia! Mungu hatakataa mutu mukamilifu, wala hatasaidia waovu.
Yote ni mamoja, kwa hiyo ninasema: Mungu anawaangamiza wakamilifu na waovu.
Inchi ikitiwa katika utawala wa mwovu, Mungu anafunga macho ya waamuzi wake! Kama si yeye anayefanya hivyo, ni nani basi?
Mujue kwamba Yawe ndiye Mungu. Yeye ndiye aliyetuumba, sisi ni mali yake; sisi ni watu wake na kondoo wake anaowachunga.
Ee Yawe, utatimiza yote uliyoniahidia. Wema wako, ee Yawe, unadumu milele. Usisahau kazi ya mukono wako mwenyewe.
Wanyenyekevu wataona hayo na kufurahi; wanaomutafuta Mungu watapata moyo.
Usitukasirikie sana, ee Yawe, usiukumbuke uovu wetu siku zote! Ukumbuke kwamba sisi wote ni watu wako!
Basi watu wanaoteswa kwa ajili ya kufanya mapenzi ya Mungu, waendelee kutenda mema, nao watoe roho yao katika mikono ya Mungu Muumba wao anayekuwa mwaminifu kabisa.