Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 10:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Nitamwambia Mungu: Usinitendee sawa na mwenye makosa. Unijulishe sababu ya kugombana nami.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 10:2
20 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Makosa na zambi zangu ni ngapi? Unijulishe kosa na zambi yangu.


Basi, mimi ninamulalamikia mwanadamu? Kwa nini basi nikose uvumilivu?


Kwa nini unashindana naye, ukisema hatajibu ulizo lako moja?


Wewe mwenye kuchunguza makosa utashindana na Mungu Mwenye Uwezo? Wewe unayebishana nami Mungu, basi ujibu mambo hayo!


Kama nikitenda zambi, inakuuzi nini, ewe muchungaji wa wanadamu? Mbona umeniweka kuwa shabaha ya mapigo yako? Kwa nini nimekuwa muzigo kwako?


Ikiwa nitahukumiwa kuwa na kosa, kwa nini basi nijisumbue bure?


Kama mutu angesubutu kushindana naye, hataweza kufika mbali, hata kujibu ulizo moja kati ya elfu.


Lakini, ee Yawe, Bwana wangu, unitendee kwa heshima ya jina lako. Wema wako ni muzuri. Basi, uniokoe!


Usinitie katika hukumu mimi mutumishi wako, maana hakuna yeyote anayekuwa mwenye haki mbele yako.


Usikumbuke zambi na makosa ya ujana wangu; unikumbuke kwa kadiri ya wema wako, kwa ajili ya uzuri wako, ee Yawe.


Usikie, ee Yawe, ninapokulilia, unionee huruma na kunijibu.


Basi sasa hakuna azabu kwa wale wanaoungana na Yesu Kristo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ