Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 10:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Ee Mungu, kwa nini ulinitoa katika tumbo ya mama? Afazali ningekufa mbele ya watu kuniona,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 10:18
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

ningepelekwa katika kaburi, na kuwa kama mutu asiyekuwa.


Lakini waovu macho yao yatafifia, njia zote za kutorokea zitawapotea; tumaini lao la mwisho ni kukata roho!


Lakini mutu anakufa na ule ndio mwisho wake. Akisha kutoa roho, anabakiliwa na nini tena?


Maana nimepatwa na giza, na giza kubwa limetanda katika uso wangu.


Nimekutegemea tangu kuzaliwa kwangu; wewe ulinilinda nilipotoka katika tumbo la mama yangu. Nitakusifu siku zote.


Ole wangu, mama yangu, kwa sababu ulinizaa! Mimi nimekuwa mutu wa ubishi na ugomvi katika inchi yote! Sijapata kukopesha mutu wala kukopeshwa na mutu, lakini kila mutu ananilaani.


Mwana wa Mutu atakufa sawa vile Maandiko Matakatifu yanavyosema juu yake, lakini ole kwa mutu yule atakayemutoa! Ingekuwa heri kwake kama asingezaliwa!”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ