Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yobu 10:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Nikiinua kichwa tu, unaniwinda kama simba na kuniponda tena kwa maajabu yako.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yobu 10:16
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mbona unageuza uso wako mbali nami? Kwa nini unanitendea kama adui yako?


Amenirarua kwa hasira na kunichukia, amenisagia meno, na adui yangu ananitonolea macho.


yeye anayetenda mambo makubwa yasiyochunguzika, anayetenda maajabu yasiyohesabika.


Usiku kucha nililia kwa kuomba musaada; kama simba, anavunjavunja mifupa yangu; muchana na usiku ananikomesha.


Kwa hiyo simba kutoka pori atawaua; imbwa wa pori kutoka jangwa atawararua. Chui anaivizia miji yao. Kila mutu anayetoka humo atararuliwa vipandevipande, kwa sababu zambi zao ni nyingi, maasi yao ni makubwa.


Alikuwa kwangu kama dubu anayevizia, kama simba katika maficho.


Maana mimi nitakuwa kama simba kwa Efuraimu, kama simba mukali kwa watu wa Yuda. Mimi mwenyewe nitawararua na kuondoka, nitawakamata na hakuna atakayewaokoa.


Simba akinguruma, ni nani asiyeogopa? Bwana wetu Yawe akisema, ni nani atakataa kuutangaza ujumbe wake?


basi, Yawe atawaletea ninyi na wazao wenu mateso yasiyokuwa ya kawaida, mateso makali yasiyoponyeshwa na ya kudumu, na magonjwa makali ya kudumu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ