9 Wamoja wakasema: “Ni yeye.” Lakini wengine wakasema: “Hapana, si yeye, anafanana naye tu.” Lakini yeye mwenyewe akasema: “Ni mimi.”
Basi wakamwuliza: “Macho yako yaliponyeshwa namna gani?”
Jirani zake na wale waliomwona zamani akiwa mwenye kuombaomba, wakasema: “Si mutu huyu ndiye yule aliyekuwa akiikaa chini na kuombaomba?”