36 Yule mutu akamujibu: “Bwana, unielezee yeye ni nani, kusudi nipate kumwamini.”
Ewe unayependeza kuliko wabinti wote, huyo mupenzi wako ana nini cha zaidi ya mupenzi mwingine, hata utusihi kwa moyo mpaka pale?
kumwuliza Yesu: “Wewe ndiwe yule aliyepaswa kuja kutuokoa au tumungojee mwingine?”
Yesu akageuka, akawaona wakimufuata, akawauliza: “Munatafuta nini?” Wakajibu: “Rabi (maana yake ‘Mwalimu’), unakaa wapi?”
Yesu akamwambia: “Umemwona, na ni yeye anayesema nawe sasa.”
Basi namna gani watamusihi yule wasiyemwamini? Na namna gani watamwamini yule wasiyesikia habari zake? Na namna gani watasikia habari zake ikiwa hakuna wanaohubiri?