27 Naye akawajibu: “Nimekwisha kuwaelezea lakini hamupendi kusikia. Kwa sababu gani munataka niwaambie tena? Ninyi vilevile munataka kuwa wanafunzi wake?”
na kumwuliza: “Kama wewe ni Kristo, utuambie.” Akawajibu: “Kama ninawaambia, hamutanisadiki,
Kweli, kweli ninawaambia: kutakuwa wakati, nao umekwisha kutimia, wafu watakaposikia sauti ya Mwana wa Mungu, na wale wanaoisikia, wataishi.
Wakamwuliza tena: “Yeye alikufanyia nini? Namna gani alikuponyesha macho?”