Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 9:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26 Wakamwuliza tena: “Yeye alikufanyia nini? Namna gani alikuponyesha macho?”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 9:26
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Umujibu mupumbafu kama kufuatana na upumbafu wake, kusudi asijione kuwa mwenye hekima zaidi.


Kisha wakamwuliza Baruku: Basi utuambie, umepata namna gani kuandika maneno haya yote? Yeremia alisema, nawe ukayaandika?


Walimu wa Sheria na Wafarisayo wakamuchunguza Yesu kusudi waone kama ataponyesha mutu kwa siku ya Sabato. Walifanya vile kusudi wapate sababu ya kumushitaki.


Basi wakamwuliza: “Macho yako yaliponyeshwa namna gani?”


Kwa hiyo Wafarisayo nao wakamwuliza namna gani alivyopata kuona. Naye akawaambia: “Alinipakaa matope kidogo kwa macho, nami nikanawa uso na sasa ninaona.”


Yeye akajibu: “Kama yeye ni mwenye zambi, mimi sijui. Neno moja ninalojua ni kwamba mimi nilikuwa kipofu na sasa ninaona.”


Naye akawajibu: “Nimekwisha kuwaelezea lakini hamupendi kusikia. Kwa sababu gani munataka niwaambie tena? Ninyi vilevile munataka kuwa wanafunzi wake?”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ