Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoane 9:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Lakini hatujui kilichotokea hata anaona sasa, wala hatujui ni nani aliyemuponyesha macho. Yeye ni mutu muzima. Mumwulize yeye mwenyewe, naye atawaelezea maneno yake.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoane 9:21
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kati yao kulikuwa mwanamuke mumoja mwenye ugonjwa wa kutokwa na damu kwa muda wa miaka kumi na miwili. Alikuwa ametumia mali yake yote kwa kulipa waganga, lakini hakuna hata mumoja wao ambaye aliweza kumuponyesha.


Pale kulikuwa mutu mumoja aliyekuwa mugonjwa tangia miaka makumi tatu na minane.


Basi wakamwuliza: “Macho yako yaliponyeshwa namna gani?”


Wazazi wake wakawajibu: “Tunajua hakika kwamba huyu ni mwana wetu na kwamba alizaliwa kipofu.


Wazazi wake walisema hivi kwa sababu waliogopa wakubwa wa Wayuda. Wakubwa wale walikuwa wamekwisha kupatana kwamba mutu yeyote anayesadiki kuwa Yesu ndiye Kristo, atatengwa asiingie katika nyumba ya kuabudia.


Na hiyo ndiyo sababu wazazi wake walisema kwamba yeye ni mutu muzima, wamwulize.


Kule akamwona mutu mumoja mwenye ugonjwa wa kupooza aliyeitwa Ainea aliyeshindwa kutoka ndani ya kitanda kwa muda wa miaka minane.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ